Salih
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 642
- 420
Wakuu nahitaji mojawapo ya gari hapo juu ila kwa Altezza nimeweka masharti kidogo na bajeti yangu mwisho kabisa kwa hizo gari mbili isizidi mil.7 ila kwa Altezza naweka Mil.5-6
Karibuni Pm kwa walio nayo tu, ila pia ushauri ruksa kwa hizo gari hapo juu kunishauri ipi ya kuchukua, mafuta sio ishu ninachotaka yenye mbio na stability nikiwa road
Karibuni Pm kwa walio nayo tu, ila pia ushauri ruksa kwa hizo gari hapo juu kunishauri ipi ya kuchukua, mafuta sio ishu ninachotaka yenye mbio na stability nikiwa road