Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Wadau gharama za mafuta kila siku zinanishinda naishi mbali mwisho wa dunia. Gari ninayotumia ina 6 cyls 3000CC .
Kuna jamaa yangu anakuja na vitz yake anaenjoy sana.nami nmeamua nitafute toyota passo ya 4 pistons kwa mtu mwenye shida ya pesa ntampatia mil 4. Namba kuanzia C na kuendelea. Mwenye nayo awasiliane nami.kama unajua huna basi si mbaya ukasoma tu thread ukaiacha.
Kuna jamaa yangu anakuja na vitz yake anaenjoy sana.nami nmeamua nitafute toyota passo ya 4 pistons kwa mtu mwenye shida ya pesa ntampatia mil 4. Namba kuanzia C na kuendelea. Mwenye nayo awasiliane nami.kama unajua huna basi si mbaya ukasoma tu thread ukaiacha.