Mkuu exav na mdau nimeiuza hiyo leo kwa milioni 16.5 sorry mkuu kama unataka ninaagiza nyengine itaondoka January kuja bongo ukitaka niPM tuwasiliane zaidi uende wapi ukaicheki hiyo. Niliyoiagiza nayo ni mayai ila imetembea 70,000 KM na ni petrol cc 1900 mwaka 2001-2002