Nahitaji toyota rav4 ya mwaka 1998-1999-2000


Mkuu Mdondoaji, pamoja na kuchelewa kukuandikia, naomba ulete features zaidi za hii gari inayokuja. Itapendeza ukistate bei yake na nini kiko covered ndani ya hiyo bei, rangi, idadi ya milango n.k.

Karibu!
 
kataarifa kazuri haka,
mtoa mada usikate tamaa utafanikiwa tu.
Mimi naomba kuijua vizuri gari TOYOTA GRAND ESCUDO kwa yeyote mwenye uzoefu nayo.
Ahsanteni.
 
jamani mimi nimeipenda hiyo gari ya 2002, ila nnakiwanja Gezaulole kimepimwa ukubwa SQ 2200 kipo posted kwenye mbaga real estate. kama vipi nipe hiyo gari na hela Tshs. mil 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…