Nahitaji ufumbuzi katika Hili

Nahitaji ufumbuzi katika Hili

Al-habiib

Senior Member
Joined
Jun 21, 2023
Posts
110
Reaction score
151
Habari wakuu,
Nahitaji kuanza ku-import mafuta ya kula kutoka nje, naomba kujua yafuatayo,
1. Document au vibali vinavyohitajika nikienda toa mzigo bandarini?
2. Bandari yenye unafuu wa kuingiza hi bidhaa?
3. Kibali Cha kusajili hii bidhaa ya mafuta TBS ni kiasi(fedha) gani na document zipi znahitajika na kila kitu kitagharimu jumla kama shi ngapi.
4. Tani 10 za mafuta zenye thamani ya milioni 5, zinaweza gharimu shi ngapi mpaka kuzitoa bandarini kwa upande wa TRA, TPA n.k (jumla ya Kodi).

Wenye uzoefu naomba wanielekezee na kama kuna changamoto nizijue na kama kuna ambalo sijaligusa niambiwe pia. Au naomba kukadiriwa huo mzigo nijiandae na sh ngapi pale bandarini.

Asante.
 
Mafuta unayatoa nchi gani?
owa mtaji huo nakushauri pita mlango wa uani
 
2.bandari yenye unafuu wa kuingiza hi bidhaa?
ZNZ ndio kwenye unafuu iwe kwa bandari/ndege | Ila changamoto itakuja kuutoa mzigo ZNZ kuja bara.
Kuna ambalo sijaligusa niambiwe pia. Au naomba kukadiriwa huo mzigo nijiandae na sh ngapi pale bandarini.
Kabla ya kuagiza mzigo mkubwa, hakikisha kwanza unaagiza sample (ya mzigo)kama lita 3 tu. Kupitia hiyo sample utajifunza na kufahamu ni vibali/makaratasi yapi hutakiwa hadi mzigo kukufikia mkononi.
 
ZNZ ndio kwenye unafuu iwe kwa bandari/ndege | Ila changamoto itakuja kuutoa mzigo ZNZ kuja bara.

Kabla ya kuagiza mzigo mkubwa, hakikisha kwanza unaagiza sample (ya mzigo)kama lita 3 tu. Kupitia hiyo sample utajifunza na kufahamu ni vibali/makaratasi yapi hutakiwa hadi mzigo kukufikia mkononi.
Kuleta bara si anaupitisha kunduchi tu. Kule Kuna kibandari bubu
 
Back
Top Bottom