Nahitaji used Rolls Royce yoyote

Nahitaji used Rolls Royce yoyote

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Ishakuwa tabu mjini.

Gari tajwa inahitajika, kama unayo tafadhali karibu PM au weka namba nitakupigia… hata kama wewe ni dalali usiwaze pesa ipo.

Only shortlisted serious dealers will be contacted.

Ncha Kali.[emoji1614][emoji36]
 
Mods acheni masikhara, hizi dharau hizi.[emoji36]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumekucha..
 
Weka picha.
1626463436801.png
 
Bwa mdogo kaskia hamisa yuko na yule tumbo nyanya Rick Ross ,kaanza na yeye kujifanya matawi kununua vigari.
mpeni ushauri aache kudemka
Rockefeller hela ipo na inakuja ingine.
Atulie,vigari Anatuna navyo kwa Rick Ross ni pipi tu.
Khamisa atalambwa,ataachwa
 
Bwa mdogo kaskia hamisa yuko na yule tumbo nyanya Rick Ross ,kaanza na yeye kujifanya matawi kununua vigari.
Mpenzi ushauri aache kudemka
Rockefeller hela ipo na inakuja ingine.
Atulie,vigari Anatuna navyo kwa Rick Ross ni pipi tu.
Khamisa atalambwa,ataachwa

Hamisa ameingiaje hapa!
 
Back
Top Bottom