Nahitaji used stabilizer Watts 10,000

Nahitaji used stabilizer Watts 10,000

DIRIMULAINA

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2018
Posts
921
Reaction score
1,720
Wakuu, nina uhitaji wa kifaa hicho kiwe ktk ubora ambao bado kinaweza kutumika kuendeshea mashine, kwani nimekutana na changamoto ya umeme pungufu kwenye shughuli yangu. Weka Bei na picha, karibu imbox
 
Ndio mkuu, unayo?
Kama upo Dar (Jiji la Lawama) nenda pale Posta TRONIC duka linaitwa Cash and Sale Store .
Karibu kabisa na Neelkanth House(Barabara ya Mwendokasi ukitokea kisutu kwenda ferry.
Week ilopita nimenunua 6KVA.
 
Kama upo Dar (Jiji la Lawama) nenda pale Posta TRONIC duka linaitwa Cash and Sale Store .
Karibu kabisa na Neelkanth House(Barabara ya Mwendokasi ukitokea kisutu kwenda ferry.
Week ilopita nimenunua 6KVA.
Shukrani mkuu
 
Back
Top Bottom