Nahitaji ushauri juu ya namna ya kupata mwekezaji wa ujenzi wa lodge

Nahitaji ushauri juu ya namna ya kupata mwekezaji wa ujenzi wa lodge

Eng Mose

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2017
Posts
242
Reaction score
322
Habari wana jamii wote,

Nina eneo Arusha linakaribia kufika heka moja, je napataje muwekezaji wa kujenga lodges ila kabla ya ujenzi tutaingia makubaliano maalumu na namna ya kulipana huko mbeleni. Eneo hilo sio naliuza.

Eneo lipo 20km kutoka ndani ya jiji la Arusha.

Naomba ushauri wa jinsi ya kupata mwekezaji.
 
Back
Top Bottom