Nahitaji Ushauri:: Nakosa raha wakati tunda langu linapoliwa

Mnamwamini huyu richaabra!!!
Ana vituko huyu,na wenzake amanda cute na rebecca
 

utakuwa humfeel jamaa........
 
Kuna mahali jamaa anashindwa Ku hit. Pm for more information
 
Umeshaolewa kiroho na jini mahaba, halitak MTU mwingine akutumie

Ukiolewa kiroho unafanyiwa mambo haya
1. Kubanwa njia inakua ndogo kuingilika(kama hujawai)

2.Maumivu(makali) wakat wa tendo

3. Kuondolewa hisia wakat wa tendo(kama alifanikisha kukuingilia) hutasikia chochote ni kama kakushika mnoko2

4. Kuzibwa kikazi usishike mimba

5. Kufanywa umchukie mmeo/mpenz bila sababu

SULUHISHO
Yesu kristo alikuja duniani kuwafungua watu kama nyie, Onana na mchungaji upate Uhuru wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…