mwambie achuje, kama ushauri keshapata.. sasa ni zamu yake kuamua!!!
Dont underestimate houesegirls, wa siku hizi ni wajanja na ndio maana anaweza akatiana hadi akapata mimba wewe hata hisia usiwe nazo kwamba ameshakua
Allow her to lead the process ya ku-transition maisha yake, na anachoamua endelea kumsaidia, hakupenda kuwa na mimba, ni kiu tu aisee:tape:
Unajua hii ya kumrudisha kwao anaweza asipate uangalizi mzuri na wa kutosha halafu isitoshe sijui kama atakuwa anajua jinsi ya kujiangalia mwenyewe akiwa na hiyo mimbantafanyia kazi yote na mwisho wa siku ataamua yeye,kwenye kuchuja sidhani kama amekuwa matured ivo kufanya maamuzi lakini best way ni ipi kumrudisha kwao kwanza nimsaidie akiwa huko au mimi nikae nae nilee hiyo mimba maana sio kazi ndogo na mimi na watoto wadogo ndani!
Chauro, WOS, MTM na MBU na members wengine wametoa ushauri mzuri sana nafikiri utakuwa umepata mwanzo mzuri wapi pa kuanzia
Chauro una roho nzuri sana ndiyo maana ikawa vigumu kwako kukurupuka na kuamua kumrudisha huyu binti kwao mara tu baada ya kufahamu kwamba ana ujauzito. Ufahamu wako wa hali ya kimaisha kwa familia yake uliongeza huruma zako kwake maana unajua fika maisha yao ni kubahatisha kila siku iendayo kwa Mungu. Msaidie kadri uwezavyo na utapata thawabu nyingi sana. Ubarikiwe sana.
YouTube - DEBORAH COX "BEAUTIFUL U R" EXCLUSIVE VIDEO