Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katisha hayo matumizi yote ya msingi yanayotoka kwako,na utaona mmoja mmoja anaondoka kwenda kujitafutia hayo matumizi ya msingi kwingine! Yaani kitaalam hiyo tunaita "Vikwazo vya kiuuchumi"Mke wangu alifariki baada ya kilio masheji zangu wamekatalia kwangu hawataki kuondoka kuwatoa kwa nguvu naambiwa sheria inanibana.
Je, kisheria nahitajika kufanyaje waondoke?
Matumizi yote ya kimsingi yanayoka kwangu.
Katisha hayo matumizi yote ya msingi yanayotoka kwako,na utaona mmoja mmoja anaondoka kwenda kujitafutia hayo matumizi ya msingi kwingine! Yaani kitaalam hiyo tunaita "Vikwazo vya kiuuchumi"
Tatizo ni kwamba matumizi nayafanya kwa ajili ya wanangu na ndio kiegezo wanacho kitumia kufaidi kupita hapo.Katisha hayo matumizi yote ya msingi yanayotoka kwako,na utaona mmoja mmoja anaondoka kwenda kujitafutia hayo matumizi ya msingi kwingine! Yaani kitaalam hiyo tunaita "Vikwazo vya kiuuchumi"
UmriJinsia ya kike
Umepewa mke mwingine kijanja, tongoza woteWakike .....Mie sio raia wa hapa Tz na Mkaazi haya nilimnununulia Mke wangu Sasa kiegezo ni kwamba hapa ni kwa Dada yao
Hapo hakuna msaada wowote wa kisheria unaohitajika. 32 yrs naweza bashiri hawaja olewa so watu wanasikilizia mikeka yao hapo.Mke wangu alifariki baada ya kilio masheji zangu wamekatalia kwangu hawataki kuondoka kuwatoa kwa nguvu naambiwa sheria inanibana.
Je, kisheria nahitajika kufanyaje waondoke?
Matumizi yote ya kimsingi yanayoka kwangu.
Ndio kusema hukuna na amani kipindi unalea na mwenzio alikutangulia?nataka kulea watoto wang kwa Amani
Hamna kitu kama hicho umefanya kitu sahihi, upo sawa kisheriaNi kweli. Ila Baada ya kufungua mirathi na kuwaandikisha watoto wangu kama warithi nimekua adui wamenifungulia kesi kwann siku waandika kama warithi?
Wafukuze. wakigoma nenda kwa balozi na mwenyekiti wa mtaa wakusaidie.Ni kweli. Ila Baada ya kufungua mirathi na kuwaandikisha watoto wangu kama warithi nimekua adui wamenifungulia kesi kwann siku waandika kama warithi?