haidary hassan
Member
- Mar 9, 2014
- 69
- 5
Habari wana Jamii forums,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20, tatizo langu kubwa ninasumbuliwa na maumivu ya mgongo pamoja na uti wa mgongo kwa takribani miaka 3 sasa, nilishawahi kutumia dawa mbali mbali za kuchua na vidonge pindi tatizo hili linanianza bila mafanikio
Pia nisha Piga x-ray na kuambiwa sina tatizo lolote, cha ajabu maumivu yanaongezeka siku hadi siku na hata sijui ni maumivu ya aina gani, mgongo kila wakati nasikia hali kama ya kujinyoosha kama mtu anavyokua na uchovu, na nikijinyoosha nasikia vitu vinaachia kuanzia mgongoni, kwenye mbavu, kifuani hadi juu kwenye shingo.
Wakati mwIngine nasikia kama nyama zinachanika kwenye uti wa mgongo nikijinyoosha. Yani situation nilikua nayo nashindwa hata nielezee vip mkanielewa and zamani wakat tatizo linaanza nilikua sisikii maumivu yoyote but now nikijinyoosha nasikia maumivu makali na haipiti hata dk 1 bila kujinyoosha coz nisipofanya hivyo nahis kama kuna vitu mgongoni vinanibana na misuli inakaza, though nafanya shughul kama kawaida lakin maisha yangu yanakua ya shida kutoka na hali.
Nilikua naomba ushauri kujua maradhi kama haya yapo na suluhusho lake ni nini.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20, tatizo langu kubwa ninasumbuliwa na maumivu ya mgongo pamoja na uti wa mgongo kwa takribani miaka 3 sasa, nilishawahi kutumia dawa mbali mbali za kuchua na vidonge pindi tatizo hili linanianza bila mafanikio
Pia nisha Piga x-ray na kuambiwa sina tatizo lolote, cha ajabu maumivu yanaongezeka siku hadi siku na hata sijui ni maumivu ya aina gani, mgongo kila wakati nasikia hali kama ya kujinyoosha kama mtu anavyokua na uchovu, na nikijinyoosha nasikia vitu vinaachia kuanzia mgongoni, kwenye mbavu, kifuani hadi juu kwenye shingo.
Wakati mwIngine nasikia kama nyama zinachanika kwenye uti wa mgongo nikijinyoosha. Yani situation nilikua nayo nashindwa hata nielezee vip mkanielewa and zamani wakat tatizo linaanza nilikua sisikii maumivu yoyote but now nikijinyoosha nasikia maumivu makali na haipiti hata dk 1 bila kujinyoosha coz nisipofanya hivyo nahis kama kuna vitu mgongoni vinanibana na misuli inakaza, though nafanya shughul kama kawaida lakin maisha yangu yanakua ya shida kutoka na hali.
Nilikua naomba ushauri kujua maradhi kama haya yapo na suluhusho lake ni nini.