Nahitaji ushauri wenu ili niweze kutimiza ndoto zangu

Nahitaji ushauri wenu ili niweze kutimiza ndoto zangu

John kirua

Senior Member
Joined
Dec 7, 2021
Posts
140
Reaction score
107
Poleni na majukumu ndg zangu. Naitaji ushauri wenu ili niweze kutimiza dream yangu.

Mimi na rudia mtihania wa kidato cha nne, pia ni mwajiriwa najisomesha mwenyewe, nimepatwa na changamoto ambayo ina pelekea mwezi huu ni siweze kuudhuria vipindi vya shule na kufanya solving mbali mbali.

Je, nitumie njia gani ya kusoma kipindi ichi sipo shule mwezi 1 ili nikirudi mwezi ujao shule nitakuwa vizuri.
 
Kama unarudia ww unae uzoefu kuwa unapitia vitabu na past paper

Punguza na tungi
 
Soma Twisheni, pastpapers, weka ratiba ya kusoma.
 
Back
Top Bottom