Nahitaji ushauri wenu zaidi juu ya hili

,
Hasaa hilo ndilo swali langu kuu, nitumie njia ipi kumnasa bila kupoteza ushahidi, wala kuleta madhara kwa namna moja ama nyingine. Huyu jamaa ana machafu mengi ambayo sijayataja hapa kwa jinsi anavyodhalilisha watoto hawa wa kike.
 
Gea ni police siku hizi??? Kha.

SL hii ni dalili dhahiri kuwa vyombo husika havifanyi kazi inavyopasa, matokea yake ndo haya watu kutafuta njia mbadala angalau na wao kujipatia relief na ndo utakuta watu wamechomwa moto au kupigwa tofauli hadi kufa huko mitaani.

BTW: uliwahi kuifuatilia 'kesi' ya mama mmoja amabaye mwanae wa miezi kadhaa alichukuliwa na baba yake na kwenda morogoro kukeketwa? that ordinary woman was something else aisee, polisi walitaka kumgeuzia kesi, subutu yao...she was smart enough kuwasiliana na vituo vya msaada wa kisheria na vyombo vya habari.
 
Aisee, inasikitisha sana bht kwa hapa tulipofikia, kila mtu amekazana gea gea...itasaidia nini sasa? Manake mbaba atasutwa na kisha ataachwa aendelee na tabia yake chafu ya kuwatumia vibaya mabinti wa watu, hivi kwani kusutwa kunabadilisha tabia ya mtu?

Sijawahi kufuatilia kisa cha huyo mama bt kwa maneo machache uloniambia inaonekana ana msimamo, hana woga na hayumbishwi na chochote, that is good. Napenda sana mtu asiye na WOGA, woga unawafanya watu wengi sana kupoteza haki zao za msingi... Inasikitisha kuona tz imefikia huku.
 
akina Gea mambo yote kwani wale wanakuwa na uthibitisho hivyo baada ya hapo ni polce kwa hatua zaidi
 
jamani kuna watu wakatili sana duniani asa huyo baba kama ni HIV positive maskini watoto wawatu jamani.........si anunue machangu wako kibao uko nje au atafute mtu mzima mwenzie atulie naye
pili hao watoto nao wanakosea utafanyaje kazi sehemu kuna mbaba tu mmama hayuko na hakuna mtu mwingine zaidi yako tu na huyo mbaba unatarajia nn mana ucku mrefu ujue jamani
 
Reactions: BPM
kuna mawili hapo hao watoto wamekuja kwako kwakua wameshindwa kumhimili mshikaji moto wake ila akitokea atakaye mmudu utashangaa hata kuja kushtaki kwako anajikalia tu na ndio anajiolesha hapohapo mana kuna wadada wa kazi wako kikazi mara mbili wakipata sehemu kama hiyo wakiweza kuvumilia ndio wanakua washatoka kimaisha tayari
 

Aminata ni vitoto vidogo kwa umri na vyenye maumbo madogo ndivyo anavyopenda kuleta mbaba huyu toka huko vijijini, ni mmoja tu ndo walikubaliana na alikaa muda alipogundua kuwa anatamba mtaani akamtimua. hawa wengine wanakaa muda mfupi sana wanaamua kurudi kwao.
 
Tabia chafu sana, mpeleke polis nahis atakuja kutembe mpaka na mabinti zake.
 
Tabia chafu sana, mpeleke polis nahis atakuja kutembe mpaka na mabinti zake.

Hao wasichana ni sawa na binti zake kwa umri alionao naweza kadiria 45+ nahisi ni mgonjwa si nyege mshindo tu zinazomsumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…