Mimi ni mwanafunzi wa QT nategemea kufanya mtihan wa QT mwaka huu lakini napenda sana kusoma cmbnationa ya biashara lakin kwenye mtihani wetu wa taifa masomo hayo amna je? Naweza kuanza kusoma sasa hiv ili mwakan niyafanyie mtihan wa taifa NECTA na nakafanya vizuri nakama unavyojua sijawah kusoma elimu ya sekondari hata mara moja