Nahitaji ushauri!!

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
Wakuu nilibahatika kununua shamba ekari mbili bagamoyo eneo linaitwa Fukayosi, hali yangu ya kiuchumi imekuwa ngumu kidogo!!

Naomba ushauri kutoka kwenu ni jinsi gani naweza kutumia eneo hili kuliendeleza ili kukuza kipato changu tofauti na kuliuza!!

Natanguliza shukrani!!
 
Wakati unanunua ulikuwa na intentions gani?? Au ulinunua tu??

Tafuta mtaalamu wa kilimo na udongo wakuambie ni aina gani ya mazao yanafaa kwenye hilo shamba.
 
Wakati unanunua ulikuwa na intentions gani?? Au ulinunua tu??

Tafuta mtaalamu wa kilimo na udongo wakuambie ni aina gani ya mazao yanafaa kwenye hilo shamba.

mkuu nashukuru kwa ushauri wako, labda ungenisadia zaidi ya hapo! Kama unafahamu vizuri hili eneo ni la pwani, nistawishe nini labda,..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…