N Nsele Member Joined Dec 7, 2013 Posts 80 Reaction score 8 Dec 13, 2013 #1 mimi ni member mpya wa jamii forum so wadua naombeni mnipokee
H Haji Salum JF-Expert Member Joined Nov 27, 2013 Posts 1,022 Reaction score 395 Dec 13, 2013 #2 Nsele said: mimi ni member mpya wa jamii forum so wadua naombeni mnipokee Click to expand... Bila shaka utatuletea mawazo mazuri hapa na si kututia kichefuchefu!
Nsele said: mimi ni member mpya wa jamii forum so wadua naombeni mnipokee Click to expand... Bila shaka utatuletea mawazo mazuri hapa na si kututia kichefuchefu!
N Nsele Member Joined Dec 7, 2013 Posts 80 Reaction score 8 Dec 13, 2013 Thread starter #3 jamani ndo moja najiunga hapa jamii forum so naombeni miongozo nk.
Mahmood JF-Expert Member Joined Feb 9, 2008 Posts 7,908 Reaction score 2,478 Dec 13, 2013 #4 Karibu Nsele. Ushauri kutoka kwangu ni, wee andika tu kila kitu kizuri ili watu wafaidike kutoka kwako. Tunangoja post zako nzuri nzuri.
Karibu Nsele. Ushauri kutoka kwangu ni, wee andika tu kila kitu kizuri ili watu wafaidike kutoka kwako. Tunangoja post zako nzuri nzuri.
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Dec 13, 2013 #5 Nsele said: jamani ndo moja najiunga hapa jamii forum so naombeni miongozo nk. Click to expand... Karibu sana jamvini.
Nsele said: jamani ndo moja najiunga hapa jamii forum so naombeni miongozo nk. Click to expand... Karibu sana jamvini.
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Dec 13, 2013 #6 Ogopa :ban:
N nummy JF-Expert Member Joined Aug 20, 2011 Posts 587 Reaction score 166 Dec 13, 2013 #7 andika kila kitu unachokiona au kukisikia hakikisha tukio likitokea wewe unakuwa wa kwanza kutujulisha, tembea na kamera na laptop, usisahau modem kwa ajili ya mtandao kwani jamii forum wanapenda sana picha.
andika kila kitu unachokiona au kukisikia hakikisha tukio likitokea wewe unakuwa wa kwanza kutujulisha, tembea na kamera na laptop, usisahau modem kwa ajili ya mtandao kwani jamii forum wanapenda sana picha.
S ssafari Senior Member Joined Jul 17, 2013 Posts 179 Reaction score 80 Dec 13, 2013 #8 Kamwe usikurupuke kutoa habari. hakikisha kuwa ina ukweli ambao umejiridhisha wewe kwanza, pia picha muhimu
Kamwe usikurupuke kutoa habari. hakikisha kuwa ina ukweli ambao umejiridhisha wewe kwanza, pia picha muhimu
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Dec 13, 2013 #9 Karibu sana JF mkuu...........
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Dec 13, 2013 #10 Karibu sana.
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 40,828 Reaction score 99,523 Dec 13, 2013 #11 Karib mkuu
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Dec 14, 2013 #12 Karibu sana JF...
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,917 Dec 14, 2013 #13 Karibuuu...jisikie upo nyumbani Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Daddo JF-Expert Member Joined Jan 17, 2013 Posts 1,435 Reaction score 1,025 Dec 14, 2013 #14 Mosi, Weka picha tukufahamu maana siku hizi tunaogopa kukaribisha watu humu kutokana na kujikuta tumekaribisha vibaka na mapepo ya kila aina. Pili kama kweli unajipenda usishike kila kitu unachokutana nacho utaishia pabaya. Mwisho kama wewe bado mwanafunzi ebu jiondoe mapema Jf hapakufai.
Mosi, Weka picha tukufahamu maana siku hizi tunaogopa kukaribisha watu humu kutokana na kujikuta tumekaribisha vibaka na mapepo ya kila aina. Pili kama kweli unajipenda usishike kila kitu unachokutana nacho utaishia pabaya. Mwisho kama wewe bado mwanafunzi ebu jiondoe mapema Jf hapakufai.