Nahitaji vifaranga vya kuku wa kienyeji

Nahitaji vifaranga vya kuku wa kienyeji

Adm

Senior Member
Joined
Sep 19, 2010
Posts
149
Reaction score
45
Habari wajasiriamali wenzangu na wanajf kwa ujumla. Mimi niko Dodoma chamwino naomba kuuliza je Dodoma kuna mtu yeyote ambaye anajishughulisha na utotoleshaji wa vifaranga wa kuku wa kienyeji? Nahitaji vifaranga wa kuku wa kienyeji, kama yupo anitaarifu na itakua vyema kama atataja na bei kwa kila kifaranga
 
Habari wajasiriamali wenzangu na wanajf kwa ujumla. Mimi niko Dodoma chamwino naomba kuuliza je Dodoma kuna mtu yeyote ambaye anajishughulisha na utotoleshaji wa vifaranga wa kuku wa kienyeji? Nahitaji vifaranga wa kuku wa kienyeji, kama yupo anitaarifu na itakua vyema kama atataja na bei kwa kila kifaranga
kaka kama uko hapo dodoma chamwino nenda pale Nanenane kuna jamaa wako kwenye banda la Mpwapwa wanatotolesha vifaranga utawakuta hapo kaka wanauza bei nzuri sana kaka.
 
Tunauza vifaranga na kuku wa umri mbalimbali. Sk moja mpaka mwezi mmoja miezi 2. Tupo Nkuhungu Dodoma. Piga 0656345348 Mama D.
 
Kwa Dodoma bei yetu ni chini kabisa kwa vifaraga bora. DOC ni 1,500/- Ukiweza kutupeleka kwa mtu anayeuza chini ya hapo na tukahakikisha tutaukuuzia kwa bei chini ya huyo mtu.. Nina uhakika huwezi kupata chini ya hapa. piga simu 0787-637006
 
Back
Top Bottom