hhsmakwato
Member
- Mar 19, 2015
- 97
- 51
Habari zenu Wanajamvi,
Kiukweli nimemaliza kutengeneza banda langu kwa ajili ya mfugo wa kuku wa nyama. Kwahivyo naomba kupewa maelekezo mazuri juu ya:-
1. Kifaranga mmoja ni sh ngapi ?
2. Wapi wanapatikana viranga wazuri.Mimi nipo Tanga.
3. Ni gharama gani nitazipata kwa kila kuku kwa kipindi chote cha mfugo.
Naomba kuwasilisha
Kiukweli nimemaliza kutengeneza banda langu kwa ajili ya mfugo wa kuku wa nyama. Kwahivyo naomba kupewa maelekezo mazuri juu ya:-
1. Kifaranga mmoja ni sh ngapi ?
2. Wapi wanapatikana viranga wazuri.Mimi nipo Tanga.
3. Ni gharama gani nitazipata kwa kila kuku kwa kipindi chote cha mfugo.
Naomba kuwasilisha