ChescoMatunda
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,232
- 442
NDUGU ZANGU VIJANA WENZANGU
Nimekuwa kwenye ujasiriamali kwa kipindi kirefu kidogonimepita uzoefu mwingi ikiwamo kushindwa na kuamka na kuendelea na sasa nimeonelea nishirikiane na WENZANGU uzoefu huu kwa pamoja, lakini kubwa, UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU.
Nimepata wazo la ushirika kwa vijana tuu tena ujasiriamali kwa waliotayari kutumia uwezo wao na bidii zao kufikia mafakio tuyatakayo. Unachotakiwa kufahamu ni unatakiwa uwepo kama mshirika kibiashara Yaani. (BUSINESS PARTINER)
KWENYE ujasiriamali usiohitaji uwekezaji mkubwa niseme ni Karibu na bure kwa sababu huhitaji kuwa na PESA zaidi ni efforts yako ndio kitakuwa kigezo cha kwanza na uwekezaji wako, pili uwe tayari kusimamia na kushiriki mchakato Mzima kwa ukaribu kigezo kingine nitahitaji umri usizidi ujana ili kukidhi malengo tarajiwa kibiashara tukianza vijana kumi mwanzo mzuri zaidi.
Haichagui jinsia wala dini kwa alietayari kushirikiana nami au unamfahamu kijana mwenye mawazo chanya kama yangu tuwasiliane kuanzia hapa au chescomatunda@gmail.com 0765555030.
Nimekuwa kwenye ujasiriamali kwa kipindi kirefu kidogonimepita uzoefu mwingi ikiwamo kushindwa na kuamka na kuendelea na sasa nimeonelea nishirikiane na WENZANGU uzoefu huu kwa pamoja, lakini kubwa, UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU.
Nimepata wazo la ushirika kwa vijana tuu tena ujasiriamali kwa waliotayari kutumia uwezo wao na bidii zao kufikia mafakio tuyatakayo. Unachotakiwa kufahamu ni unatakiwa uwepo kama mshirika kibiashara Yaani. (BUSINESS PARTINER)
KWENYE ujasiriamali usiohitaji uwekezaji mkubwa niseme ni Karibu na bure kwa sababu huhitaji kuwa na PESA zaidi ni efforts yako ndio kitakuwa kigezo cha kwanza na uwekezaji wako, pili uwe tayari kusimamia na kushiriki mchakato Mzima kwa ukaribu kigezo kingine nitahitaji umri usizidi ujana ili kukidhi malengo tarajiwa kibiashara tukianza vijana kumi mwanzo mzuri zaidi.
Haichagui jinsia wala dini kwa alietayari kushirikiana nami au unamfahamu kijana mwenye mawazo chanya kama yangu tuwasiliane kuanzia hapa au chescomatunda@gmail.com 0765555030.