Nahitaji vitabu vya Sheria (LLB)

Nambie unataka kitabu cha somo gani ili nikutumie. Nna softcopy ya vitabu vya masomo yote ya mwaka wa kwanza na wa pili ktk koz ya LLB
 
lakini duniaimebadilika sasa kutegemea kuuza hardcoppy siyo sahihi kwani unaweza uza soft copy
 
alfredy waambie wananchi mi ninavyo we mteja wangu sana wadhibitishie kuwa kwangu ushanunua sana tu, embu wanicheki hapa 0712619975 soft copy ya haraka kwa vitabu na material yote ya law
 
vitabu safi anavyo Stable George vimeandaliwa na wataalamu maarufu nchini pia mimi nakiri kukunua vitabu kwa George na vimenisaidia kama kweli unahitaji nunua kwa huyo jamaa bei poa sana .elimu ipo kiganjani kwako sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…