Nahitaji vitu gani ili niweze kukata insurance ya gari?

mzeemzima

Senior Member
Joined
Apr 14, 2010
Posts
123
Reaction score
78
Wadau ,

Naomba kujuzwa kama nahitaji kukata insurance ya gari nahitaji kuwa na document au kitu chochote mkononi kama card ya gari etc, au naweza tu kwenda kwa broker au insurance company na nikakata insurance ?

Natanguliza shukrani
 
Wadau ,

Kwa yeyote anayejua naomba anifahamishe , kwa sababu nahitaji kulifanyia kazi muda mfupi ujao
 
Wadau ,

Naomba kujuzwa kama nahitaji kukata insurance ya gari nahitaji kuwa na document au kitu chochote mkononi kama card ya gari etc, au naweza tu kwenda kwa broker au insurance company na nikakata insurance ?

Natanguliza shukrani
Copy card ya gari na picha 3 za gari ya mbele,nyuma na chassis number
 
Wadau ,

Naomba kujuzwa kama nahitaji kukata insurance ya gari nahitaji kuwa na document au kitu chochote mkononi kama card ya gari etc, au naweza tu kwenda kwa broker au insurance company na nikakata insurance ?

Natanguliza shukrani
Japo nimechelewa kukujibu ila nadhani inategemea ni bima ipi unakata, kama ni bima ndogo (Third party) unaenda na kopi ya kadi ya gari tu ila kama ni bima kubwa (Comprehensive) unaenda na gari kabisa ili likaguliwe ikiwa ni pamoja na kulipiga picha..
 
Wadau ,

Naomba kujuzwa kama nahitaji kukata insurance ya gari nahitaji kuwa na document au kitu chochote mkononi kama card ya gari etc, au naweza tu kwenda kwa broker au insurance company na nikakata insurance ?

Natanguliza shukrani
Nenda na barua ya mjumbe wa nyumba 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…