Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,203
- 2,771
Salaam waheshimiwa, nahitaji vyombo vya ndani ( geto ).
Nahitaji kitanda, godoro, mtungi wa gesi, kikabati cha kizushi ( kibaharia) na vikoro koro vingine vya geto. Vitu ninavyotaka ni vya kijana anaeanzia maisha.
Nahitaji kunusuru ndoa yangu, hivyo nataka kuweka nyumba ndogo.
Mabaharia karibuni mnisaidie, Nipo Dar.
Nahitaji kitanda, godoro, mtungi wa gesi, kikabati cha kizushi ( kibaharia) na vikoro koro vingine vya geto. Vitu ninavyotaka ni vya kijana anaeanzia maisha.
Nahitaji kunusuru ndoa yangu, hivyo nataka kuweka nyumba ndogo.
Mabaharia karibuni mnisaidie, Nipo Dar.