House4Sale Nahitaji vyombo vya ndani (geto)

House4Sale Nahitaji vyombo vya ndani (geto)

Premij canoon

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2018
Posts
1,203
Reaction score
2,771
Salaam waheshimiwa, nahitaji vyombo vya ndani ( geto ).

Nahitaji kitanda, godoro, mtungi wa gesi, kikabati cha kizushi ( kibaharia) na vikoro koro vingine vya geto. Vitu ninavyotaka ni vya kijana anaeanzia maisha.

Nahitaji kunusuru ndoa yangu, hivyo nataka kuweka nyumba ndogo.

Mabaharia karibuni mnisaidie, Nipo Dar.
 
Back
Top Bottom