Upweke gani?mmefiwa au!!!
hahahahahaUpweke gani?mmefiwa au!!!
Hamisa sio wa spoti spoti, anataka million tano per week. ..na vyuma vilivyokaza hivi mtoa mada pambana na upweke wako[emoji13] [emoji13]kwani Hamisa hayupo nyie wanaume wa Dar mna mademu wenu wa Dar na chakula chenu cha Dar ni chips kwa Fanta!!! pambana utampata kwani mnajuana humu JF
Wewe Sio mpweke tena, Njoo Kule mahalituunde umoja wa wanaojihis wapweke! mie mweka hazina nishawah namba
Wewe Sio mpweke tena, Njoo Kule mahali
Mr. Mbiti kasafiri ama?tuunde umoja wa wanaojihis wapweke! mie mweka hazina nishawah namba
Basi njoo kwangu mate wake katika vimiminika nimsaidie kuziba pengo. Wanywaji huwa hatuangushanianasoma nw
Basi njoo kwangu mate wake katika vimiminika nimsaidie kuziba pengo. Wanywaji huwa hatuangushani
Mie mwenyekitituunde umoja wa wanaojihis wapweke! mie mweka hazina nishawah namba