.........mtafute Mheshimiwa Magafu Majura ni Expert sana.
Gharama zake inategemea na uzito wa kesi yenyewe kiongozi, ni Wakili maarufu sana anapatikana Dar es salaam; kwa karibu sana zungukia mitaa ya Mahakama kuu au pale Kisutu Mahakama ya Hakimu Mkazi..uliza mtu yeyote pale utajulishwa ni wapi anapatikana kiurahisi..aisee gharama zake ziko vipi ? office zake ziko wapi ? naomba msaada wa number yake