Hi JF members
Poleni na majukumu
Nimeona ni vema nikaanzisha hii ID mpya ili kusudi niwe natupia mambo nyeti ,muhimu na yenye tija kwetu sote najua sitawaridhisha wote kutokana na kila MTU kuwa na hulka yake ya vitu anavyovipenda na kuna wengine nitawaridhisha kwa kiasi chake na hatimae watakaokuwa tayari basi tutaungana!
By professional Mimi ni mwalimu !
Lakini ni mjasiriamali mdogo kiuchumi lakini mkubwa kifikra na mwenye ujuzi kadhaa nasema hivo kwa sababu miezi kadhaa nyuma nilikuwa ni mkufunzi wa masomo ya ujasiriamali katika vikundi mbalimbali huko mikoani na nilikuwa nikiyafundisha bure bila malipo japo nilikuwa na mradi wa kuuza vitabu vya ujasiriamali ambapo nilipata fursa kubwa ya kuuza vitabu hivyo kwa hao wanakikundi na hio ndo ilikuwa ridhiki yangu kwa wakati huo lakini nikaja kusimama kufanya shughuli hizo baada ya kuanzisha mradi mwingine ambao nao nilienda nao kwa kipindi Fulani na kuuacha na saivi nipo na huduma nyingine inayonipa kula kulipa pango na kutimiza mahitaji yangu
Back to the point!
Nina wazo kuu limenijia kichwani na nimelifikiria nikaona ni vema nikapata wenzangu wanne ambao wako serius na wako tayari kwa UDI na uvumba kuhakikisha kuwa kitu tutakachokianzisha hakiishii njiani yaani afe kipa ama beki ila mradi lazima usimame kwa vyovyote na kuhakikisha kuwa tutashikana mkono mpaka point ya mwisho!
Miradi niliyofikiria ni hii ifuatayo:
Mradi 1: UTENGENEZAJI WA CHAKI
Mradi 2:UTENGENEZAJI WA SABUNI YA MCHE
MRADI 3: UTENGENEZAJI WA MAFUTA YA MGANDO AMA LOTION N.K
MIRADI HII NI MIRADI AMBAYO INAWEZA KUTUFIKISHA PALE TUTAKAPOHITAJI TUFIKIE KIUCHUMI kikubwa ni kuwa serius na kazi na kizuri zaidi Nina IDEA YA ELIMU YA HIVO VITU ILA TUTAKAPO KUBALIANA BASI TUTAANZA NA MOJA NIKIWA NA MAANA YA KUTAFUTA UJUZI WA KUTOSHA,MALIGHAFI KWA GHARAMA NAFUU,SOKO NA VIBALI VYA UZALISHAJI PAMOJA NA MATANGAZO YA PRODUCT YAKO KAMA UNAJIONA UKO SERIUS NI PM AFU TUTAANZISHA GROUP LA WHATSAPP LA WATU WANNE AU WATANO TUTAKAOKUBALIANA NA KUJADILI KWA KINA ZAIDI
Narudia tena nataka watu serius tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni na majukumu
Nimeona ni vema nikaanzisha hii ID mpya ili kusudi niwe natupia mambo nyeti ,muhimu na yenye tija kwetu sote najua sitawaridhisha wote kutokana na kila MTU kuwa na hulka yake ya vitu anavyovipenda na kuna wengine nitawaridhisha kwa kiasi chake na hatimae watakaokuwa tayari basi tutaungana!
By professional Mimi ni mwalimu !
Lakini ni mjasiriamali mdogo kiuchumi lakini mkubwa kifikra na mwenye ujuzi kadhaa nasema hivo kwa sababu miezi kadhaa nyuma nilikuwa ni mkufunzi wa masomo ya ujasiriamali katika vikundi mbalimbali huko mikoani na nilikuwa nikiyafundisha bure bila malipo japo nilikuwa na mradi wa kuuza vitabu vya ujasiriamali ambapo nilipata fursa kubwa ya kuuza vitabu hivyo kwa hao wanakikundi na hio ndo ilikuwa ridhiki yangu kwa wakati huo lakini nikaja kusimama kufanya shughuli hizo baada ya kuanzisha mradi mwingine ambao nao nilienda nao kwa kipindi Fulani na kuuacha na saivi nipo na huduma nyingine inayonipa kula kulipa pango na kutimiza mahitaji yangu
Back to the point!
Nina wazo kuu limenijia kichwani na nimelifikiria nikaona ni vema nikapata wenzangu wanne ambao wako serius na wako tayari kwa UDI na uvumba kuhakikisha kuwa kitu tutakachokianzisha hakiishii njiani yaani afe kipa ama beki ila mradi lazima usimame kwa vyovyote na kuhakikisha kuwa tutashikana mkono mpaka point ya mwisho!
Miradi niliyofikiria ni hii ifuatayo:
Mradi 1: UTENGENEZAJI WA CHAKI
Mradi 2:UTENGENEZAJI WA SABUNI YA MCHE
MRADI 3: UTENGENEZAJI WA MAFUTA YA MGANDO AMA LOTION N.K
MIRADI HII NI MIRADI AMBAYO INAWEZA KUTUFIKISHA PALE TUTAKAPOHITAJI TUFIKIE KIUCHUMI kikubwa ni kuwa serius na kazi na kizuri zaidi Nina IDEA YA ELIMU YA HIVO VITU ILA TUTAKAPO KUBALIANA BASI TUTAANZA NA MOJA NIKIWA NA MAANA YA KUTAFUTA UJUZI WA KUTOSHA,MALIGHAFI KWA GHARAMA NAFUU,SOKO NA VIBALI VYA UZALISHAJI PAMOJA NA MATANGAZO YA PRODUCT YAKO KAMA UNAJIONA UKO SERIUS NI PM AFU TUTAANZISHA GROUP LA WHATSAPP LA WATU WANNE AU WATANO TUTAKAOKUBALIANA NA KUJADILI KWA KINA ZAIDI
Narudia tena nataka watu serius tu!
Sent using Jamii Forums mobile app