Tetesi: Nahodha aomba Kustaafu, TFF yagomea ombi lake

Tetesi: Nahodha aomba Kustaafu, TFF yagomea ombi lake

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Kwa mujibu wa taarifa inaelezwa kuwa,nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Ally Samatta ameliandikia barua shirikisho la soka nchini (TFF)ya kustaafu kuitumikia timu ya taifa ya Tanzania.

Taarifa inaeleza kuwa TFF imeligomea jambo hilo huku wakihitaji baada ya michezo ya kufuzu fainali za kombe la dunia waketi wazungumze kuhusu jambo hilo.

20240609_211416.jpg
 
Ahahaaa 😂, Mbwana kashtuka mapema sana do!.
 
Wapo wengi waliowahi kukataliwa na FA zao.
Mesi aliomba kustaafu akataliwa
Yule striker mcameroun Abubakar pia alikataliwa na wengineo
 
Hata ningekuwa mimi ningefanya alichofanya Samatta.

Samatta anachukuliwa poa na kudharaulika sana
Kiwango chake akiwa stars ndio kinasababisha wamchukulie poa
 
Nadhani wanataka waje kumuacha juu kwa juu kama Yondani na Nyoni
 
Atakuwa amefanya kosa kubwa sana iwapo ataubadili huo msimamo wake wa kustaafu wakati huu.
 
Back
Top Bottom