Huyu Jamaa ni beki mzuri sana, ameiongoza serengeti boys Garbon, ameiongoza U20 ya mtibwa kuchukua ubingwa kwenye club level.. na sasa ameiongoza national team u20 kuchukua ubingwa wa cecafa.
Wakati kina erasto nyoni na kelvin yondani ndio wanaishia japo wamefanya kaI nzuri.. Beki kama huyu alitakiwa aanze kuitwa kwenye national team.
Naamini kocha na benchi la ufundi watalifanyia kazi la sivyo tutaendelea kuwapigia magoti kina yondani walio maliza muda wao kwa kazi nzuri iliuo tukuka.
View attachment 1224694