Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania amepewa heshima ya kuvaa jezi maalum kwenye mchezo wa leo wa ligi kuu ya Ubelgiji kati ya timu yake ya KRC Genk dhidi ya Club Brugge kutokana na kuwa kinawa wa mabao.
Akifanikiwa kuepeleka taifa stars AFCON hapo ndio tutasema kaipaisha Tanzania
Huko anaipaisha Genk na sio stars magoli anayofunga huko haina impact yoyote kwenye timu ya taifa
Akifanikiwa kuepeleka taifa stars AFCON hapo ndio tutasema kaipaisha Tanzania
Huko anaipaisha Genk na sio stars magoli anayofunga huko haina impact yoyote kwenye timu ya taifa