Nahofia mwanangu kaambukizwa malaria.

MamaBeata

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
325
Reaction score
112
Habari daktari. Mi nina mtoto mdogo wa miezi kadhaa. Sasa kutokana na mazingira kutoruhusu kuna siku tukiwa safari tulilala bila neti na mwanangu akapata upela maeneo yote alioumwa na mbu. Baada ya siku kadhaa ule upele ulikauka maisha yakaendelea. Hofu yangu ni kua mwanangu kaambukizwa malaria na wale mbu. Ingawa hana dalili zozote za kuumwa mfano homa lakini nahofu. Je naweza kumpa dawa ya malaria kama kinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…