Hahaha kila la heri mkuuNiwe nyoka wa dalali kwanza.
Nilishastaafu MkuuNiwe nyoka wako dalali Mkuu
Biashara ya kuuza mchele umechemka?Nahusudu kufanya kazi ya udalali wa nafaka hasa mchele kwenye maneno husika kama mbeya, kahama, mwanza.
Kipi nianze nacho kwa mgeni wa maneneo hayo
Kwan mchele ulikuwa unauza kwa mtaji wako au ulikuwa unapewa mali kauli?Nabadili upepo kamanda
Una ramani nipe mkuu