Nai beauty

Nai beauty

thatone

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2019
Posts
365
Reaction score
196
Habar wapendwa....nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne lakin toka amalize shule katokewa na mapele usoni mpka anatia huruma sasa anataka kutumia nai beauty lotion kwa anaeifahamu hii losheni je ni kweli inatibu kamainavyotangazwa au ni biashara tu. Asanteni
 
Back
Top Bottom