Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Spy at work
Nyie ni kwamba hamna kwa kuhamia maana hata Tanzania Daima halipo!Ingekuwa ccm basi ofisi yoote ya pole pole ingehamia channel ten wangehamia kuuutangazia umma.
Mnadhani mtaendelea kuyafungia magazeti maishani yenu yote? Au uh nadhani mtabakia madarakani milele?Nyie ni kwamba hamna kwa kuhamia maana hata Tanzania Daima halipo!
Ni sawa huyo aliyehamia, lakini akae siti za nyuma huko. Hao wanaokuja dakika za jioni ni wasoma ramani tu.
Mnafahamiana kumbe?Spy at work
Hana lolote huyoMnafahamiana kumbe?
Mnafahamiana kumbe?
inategemea labda wadau wanaomjua watujuze kidogo huko zanzimbar kisiasa anafanya vizuri?Ndo mgombea mwenza Huyo nadhani...
Tuendelee kutega sikioNdo mgombea mwenza Huyo nadhani...