Naibu Rais wa Kenya ana machaguo matatu tu ili abaki kwenye medani za siasa nchini humo

Naibu Rais wa Kenya ana machaguo matatu tu ili abaki kwenye medani za siasa nchini humo

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Chaguo la kwanza,
Ni ama ajiuzulu nafasi yake kwa hiyari yake mwenyewe, kuepuka fedheha ya kubaduliwa na bunge kutoka kwenye wadhifa wa naibu Rais kutokana na tuhuma za kukiuka katiba zinazomkabili.

Chaguo la pili,
Awe tu muungwana, ajishushe chini kiungwana na aombe radhi kwa Rais boss wake, na waKenya wote ili muswada huo uondolewe bungeni hata kama anahisi hana hatia navwala hajafanya kosa lolote. Waketi chini wamalizane lile ambalo ni changamoto na wanalotofautiana liishe, ili kwa pamoja waendelee kuwatumikia waKenya pamoja na viongozi wengine serikalini kama walivyo anza 2022.

Chaguo muhimu la tatu na la mwisho,
Ni apambane vilivyo, kufa na kupona, ahakikishe anashinda mtihani na pambano hilo kali sana na gumu mno, la hoja ya kutokua na imani nae, na hatimae asibanduliwa kwenye nafasi yake ya Naibu wa Rais wa Kenya.

Kwa kuhitimisha,
Kwa jinsi katiba ya Kenya ilivyo mbovu, endapo bunge litafanikiwa kumbandua kwenye nafasi yake ya naibu Rais wa Kenya anayoishikilia hivi sasa, basi atakua amepoteza sifa, vigezo na haki za kikatiba kugombea tena uongozi katika taifa la Kenya au kutumikia ofisi yoyote ya umma maisha yake yote, unless katiba na kifungu hicho kibadilishwe 🐒

Nini maoni yako?

Mungu Ibariki Tanzania
 
ndhani haya ni ya UDA, na ni uamuzi wake kuchagua kati ya hayo ili kubaki relevant kwenye siasa ikiwa bado anahitaji kufanya kazi za siasa. Hakuna muujiza mwingine 🐒
Jana Uhuru Kenyatta kawatuma Mh Musyoka na Mh Eugene Wamalwa kumpelekea Salamu za Kumtia Moyo Mwamba Gachagua 😃😃😃🌹
 
Jana Uhuru Kenyatta kawatuma Mh Musyoka na Mh Eugene Wamalwa kumpelekea Salamu za Kumtia Moyo Mwamba Gachagua 😃😃😃🌹
sasa watermelon Kalonzo Kusyoka hivi ana USHAWISHI nje ya ukambani kweli?
Sasa anamtia moyo Gachagua itasaidia nini, badala aongee na wabunge wa Ukambani ambao ni wawili tu ndiyo watiifu kwake ili wasaidie kumnusuru Gachagua 🤣

Na huyo Eugine Wamalwa huko Tranzoyia kwao hata hawamuelewagi maskini ya Mungu. Zaidi ya miaka20 akiwa serikalini hakuna kitu amefanya wanamuonaga ni maneno mengi tu kama Lisu lakini hamna kitu amaefanya 🤣
 
sasa watermelon Kalonzo Kusyoka hivi ana USHAWISHI nje ya ukambani kweli?
Sasa anamtia moyo Gachagua itasaidia nini, badala aongee na wabunge wa Ukambani ambao ni wawili tu ndiyo watiifu kwake ili wasaidie kumnusuru Gachagua 🤣

Na huyo Eugine Wamalwa huko Tranzoyia kwao hata hawamuelewagi maskini ya Mungu. Zaidi ya miaka20 akiwa serikalini hakuna kitu amefanya wanamuonaga ni maneno mengi tu kama Lisu lakini hamna kitu amaefanya 🤣
Usiwe Bwege Wewe

Hapa mnao Biteko, Makonda na Musiba kwa ajili ya ushindi wa CCM 😂😂😂

Bila hao chaliii

Sidhani hata kama unaelewa 😂
 
Usiwe Bwege Wewe

Hapa mnao Biteko, Makonda na Musiba kwa ajili ya ushindi wa CCM 😂😂😂

Bila hao chaliii

Sidhani hata kama unaelewa 😂
kuhamisha magoli na michezo ya zigzaga crew siwezi kuelewa kabisa

Muhimu zaidi ni kwa wadau kuzingati hoja ya msingi kwamba RigGy anakwenda kubanduliwa rasmi na bunge kwa kuikiuka katiba mbovu ya kenya, kuvunja sheria, kuendekeza utovu wa nidhamu uliokithiri na kuendekeza migawanyiko ya kikabila kinyume na katiba ya Kenya 🐒
 
kuhamisha magoli na michezo ya zigzaga crew siwezi kuelewa kabisa

Muhimu zaidi ni kwa wadau kuzingati hoja ya msingi kwamba RigGy anakwenda kubanduliwa rasmi na bunge kwa kuikiuka katiba mbovu ya kenya, kuvunja sheria, kuendekeza utovu wa nidhamu uliokithiri na kuendekeza migawanyiko ya kikabila kinyume na katiba ya Kenya 🐒
Kenya Siyo Dodoma

Team Gachagua Siyo nyie maiti 🐼🤣
 
Kenya Siyo Dodoma

Team Gachagua Siyo nyie maiti 🐼🤣
maiti ndio hawa wanaojihesabia haki sio kulingana na hali walizonazo kabla ya kesi na kabla ya hukumu?🤣

tuliona kule kwa yule kijana ati alichomekwa chupa kwenye sundrundru huko babati akapoteza,

tumeona huko dodoma pia kijana wa yombo alieunganisha vijana kitaifa nayo vile vile inapotea,

na sasa hii ya tigo vile vile itapotea kirahisi sana.

so,
wanaosimamia hizi kesi ndio unamaanisha ni maiti sio?🐒
 
Back
Top Bottom