Naibu Spika Dkt. Tulia: Jesca Kishoa hii kauli yako either uifute, ofisi ya Spika haina taarifa ya wewe kuondolewa kwenye chama chako

Ndugai anaongea tu ila ana hali mbaya sana na msongo mkubwa sana wa mawazo
 
Afadhari useme wewe. Kuna mambo mengine yanakua wazi kiasi hayahitaji uelevu wa kupindukia kuweza kuyajua ukweli wake. Tuvute subira, muda ni muamuzi mzuri. Hadi 2025 ni kitambo kirefu, tutakua tumejua ukweli.
 
tume ya taifa ya uchaguzi.
matokeo ya urais na wabunge na madiwani YALIKUWA SAHIHI.
ila uchaguzi wa wabunge wa kuteuliwa wa chadema SIO SAHIHI.
UNAFIKI NI UGONJWA MBAYA SANA
 
Spika kwa sasa ile hali ya KUHISI HATIA imeanza kumtesa moyoni, anaona watu wanaojua SIASA ZA VYAMA kama Nape wanaenda mwelekeo wa kupigania hadhi ya Bunge kusimamia sheria.

Utetezi wa Spika ni immature kabisa, kama kulikuwa na mapungufu katika uwasilishaji wa nyaraka za kuwafukuza wabunge, ni jukumu la wanasheria wa ofisi ya Spika kung'amua mapungufu husika na kuwataarifu CHADEMA kufanyia kazi ili mchakato uendelee.

Tangu December, unakuja kuibuka leo Bungeni kusema barua ni KIPEPERUSHI haina viambatanisho! Hii ni GUILTNESS inamtesa, kelele za kutetea hadhi ya Bunge zimeanza kumsumbua na kumsuta.
 
tume ya taifa ya uchaguzi.
matokeo ya urais na wabunge na madiwani YALIKUWA SAHIHI.
ila uchaguzi wa wabunge wa kuteuliwa wa chadema SIO SAHIHI.
UNAFIKI NI UGONJWA MBAYA SANA
Kama sijakuelewa hivi. Unaweza kulifafanua kwa faida yangu niliyemzito wa kuelewa na wengine wa aina yangu?
 
Umemaliza mkuu. Huu ndiyo ukweli wenyewe. Hili litamuachia historia ya aina yake Job Ndugai. Kwa hili asitegemee support ya wana CCM wenzake, liko wazi mno. Achutame tu, taulo limeshadondoka.
 
Udanganyifu mkubwa Sana ulitokea tarehe 28 mwezi wa 10.mpaka mabegi ya Kura FEKI yakakamatwa.lakini sioni chadema wakichukua hatua zozote na hata huyu mleta mada alikaa kimya na pia nape alikaa kimya.
ILA sijajua Kwanini hawa wabunge 19 wanawauma Sana chadema na mleta mada na nape kukaa bungeni kuliko wabunge wao waliodhulumiwa Kura zao tarehe 28 mwezi wa 10.
Kama sijakuelewa hivi. Unaweza kulifafanua kwa faida yangu niliyemzito wa kuelewa na wengine wa aina yangu?
 
Mshindi wa kiti cha Urais akishatangazwa matokeo hayapingwi popote, kuhusu wabunge na madiwani unaweza kupinga Mahakamani. Swali ni je kwa kipindi cha SHUJAA, kwa hali ya mchakato wote wa uchaguzi, ni Mahakama ipi ingetengua Ubunge wa mwana CCM?

Hili vyama vya upinzani viliona huwezi kulipatia haki Mahakamani bali ni kupigania mifumo imara ambayo msingi wake ni KATIBA imara. Ndiyo maana wametoa msimamo wa kutoshiriki chaguzi ikiwa hakuna KATIBA inatoa uimara wa TUME HURU YA UCHAGUZI kwanza.

Hao wabunge 19 ni mali ya chama, msimamo wa chama ni kutotambua uchaguzi wa 28/10 kutokana na makovu yake hivyo walipaswa kuwa sehemu ya msimamo huo. Wamekiuka msimamo wa chama, hivyo chama kinayo haki ya kuwawajibisha kikatiba.
 
Hapo utakuwa unaisemea mahakama.
NANI KAPELEKA KESI MAHAKAMANI YA KUPINGA MATOKEO YA UBUNGE AU UDIWANI?.
baada ya MABEGI ya Kura FEKI kukamatwa ilichukuliwa hatua gani?
 
Ok Sawa.chama kimeamua kuwafukuza uanachama HAO akina halima.
Na sio wanachama wao.
Sasa kwanini wanalazimisha wafukuzwe bungeni?.
 
Hapo utakuwa unaisemea mahakama.
NANI KAPELEKA KESI MAHAKAMANI YA KUPINGA MATOKEO YA UBUNGE AU UDIWANI?.
baada ya MABEGI ya Kura FEKI kukamatwa ilichukuliwa hatua gani?
Katika siasa au hata elimu ya darasani kuni PROBABILITY & ANTICIPATION. Kwa utawala wa SHUJAA hakuna Mahakama ingetengua Ubunge wa mwana CCM hata mmoja, fanya marejeo ya mchakato mzima wa uchaguzi utaona how POWERFUL AND SADIST Shujaa was!

Mahakama hizo hizo si ndiyo zilinyima watia nia dhamana na kuswekwa mahabahusu wakina Nusrat Henje! Kisha usiku zikawatoa na kuwa wabunge wa COVID19?

Ndugu toa blanket, amka.
 
Kama hakuna kesi iliyopelekwa kupinga matokeo ya ubunge na udiwani bado unaisemea mahakama.
 
Chadema walibugi Sana kuwafukuza uanachama HAO akina mdee.
Maana sasa hivi sio wanachama wenu na hamna MADARAKA nao .kuhangaika nao kuwa wafukuzwe bungeni mnaonekana mna WIVU na posho zao.
Nyie mmeshajitoa kwenye huo mzigo endeleeni na Mambo yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…