Naibu Spika Dkt. Tulia: Jesca Kishoa hii kauli yako either uifute, ofisi ya Spika haina taarifa ya wewe kuondolewa kwenye chama chako

Ww ndio ulikuwa Dr wake?
Tatizo mkishapata vitekno mnaanza kuandika vitu hata hamvijui

Leo ukiambiwa udhibitishe unaanza kulia na kusema unaonewa
Mama kashasema kuwa wewe na musiba mwisho wenu unakaribia
 
Wonders shall never end [emoji15] [emoji15]
 
kungekuwa na viti maalum vya wanaume leo Chadema hamna mtu angevuliwa ubunge. Mbowe, Lissu, Lema wangekuwa viti vya mbele kabisa bungeni sema ndio hivyo chama chetu hakiamini wanawake
Tubaki kwenye hoja iliyoletwa juu ya hawa "vitu maalumu" ambao ni wanawake, hiyo nyingine ya vingekua vya "wanaume" itafutie muda mwingine uilete tuone michango ya wadau ikoje.
 
Chadema mbona hamuendi mahakamani?
Kwa kauli aliyotoa Rais SSH ya HAKI katika vyombo vya maamuzi, mahakama ikiwemo, sasa CDM wanaweza kupata moyo wa kwenda mahakamani. Lakini hapo nyuma kidogo hata wewe unajua "mhimili uliokua umejichimbia" ulivyokua na power kwa mihimili mingine. Hao Covid 19 wenyewe tunaowajadili ni matokeo ya huo "mhimili"

Ndipo Tanzania ilipokua imefikia.
 
Akichangia bungeni mbunge wa chadema jeska kishoa amesema alifukuzwa chamani ,baada ya naibu spika kumwambia aliingiaje bungeni bila chama akageuza

Bado sisi ni wanachadema jambo lilizua kelele bungeni kuhusu jambo la wabunge 19 wa viti maalumu chadema

USSR
 
Acha tu...
Mie machozi yalinitoka kwa kauli ya huyu mama mbunge, haki ya nani tena....😭😭😭
 
Wabunge wahoji kuhusu wasiokuwa na chama yaani waliyo fukuzwa uanachama.
Spika awatetea kua Bunge halitambui hilo.
 
Umejaribu kutoa maelezo mareeeefu, ila umesahau kwamba ndugai alishawahi kukiri kupokea barua ya chadema kutokuwatambua hao covid 19. Ila kwa kuwa huu ni uhalifu wa ki dola lazima uhalalishwe na dola. Rejea kutolewa mahabusu usiku ili awahi kuapishwa asubuhi yake. Ukweli katiba yetu inasiginwa kwa manufaa ya wahuni wachache. Wakutulipia ni Rabana, yeye hashindwi jambo. Yuko wapi mwendazake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…