Nyumba za kupaanga usisahauMuziki, Bar, Makanisa, Misikiti.
SIO MUZIKI TU HATA MAKANISA KATI KATI YA MAKAZI NI KERO KUBWANAIBU Spika Mussa Azan Zungu ameitaka serikali kupitia Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kudhibiti kelele hasa za muziki katika makazi ya watu ambazo zimegeuka kero kwa wakazi.
“Wazee wengi wanateseka na makelele ambayo hayana udhibiti (control). Tuwaombe NEMC mchukue hatua mtoe adhabu kali kwa watu wanaopiga makelele hasa ya muziki,” amesema wakati akiahirisha kikao cha Bunge leo Aprili 24, 2023.
View attachment 2598229
na mitaani, madukani na sokoni ni kelele tu hasa zile za kuitia biashara, mtu akifungua anawasha kipaza sauti mpaka anafunga. Makanisani na misikitini ni afadhaliMuziki, Bar, Makanisa, Misikiti.