Kumbusho Dawson Kagine
Member
- Apr 25, 2013
- 19
- 29
Video ni Naibu wa Rais wa Kenya Mh. Rigath Gachagua mapema siku ya leo amelazimika kurudia tena kuapa baada ya kushikwa na kiwewe hivyo kukosea kuapa. Unadhani ni Kwa Nini Naibu wa Rais wa Kenya Mh. Rigathi alishikwa na kiwewe?.
Disemba 9, 2020 mbele ya Rais Magufuli Naibu Waziri mteule wa Fedha Francis Kumba Ndulane alishikwa na kigugumizi na kushindwa kuapa. Alitenguliwa siku hiyo hiyo na nafasi akapewa mtu mwingine.
Disemba 9, 2020 mbele ya Rais Magufuli Naibu Waziri mteule wa Fedha Francis Kumba Ndulane alishikwa na kigugumizi na kushindwa kuapa. Alitenguliwa siku hiyo hiyo na nafasi akapewa mtu mwingine.