Naibu wa rais rigathi gachagua amekiri serikali inapata taabu kulipa wafanyakazi wake

Naibu wa rais rigathi gachagua amekiri serikali inapata taabu kulipa wafanyakazi wake

Kenyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
414
Reaction score
314
Naibu wa Rais Rigathi Gachagua leo amefunguka na kukiri kuwa serikali inapitia wakati mgumu katika kuwalipa wafanyakazi wake na hata kutoa fedha kwenda kwa serikali za kaunti, kutokana na uhaba wa fedha.



"Ni kweli kabisa kuwa tunatatizika kulipa mishahara na hata kutoa pesa kwenda kwa kaunti, kwa sababu serikali iliyopita ya 'handshake' ilipora kila kitu. Hamna chochote.'

Gachagua amefichua haya huku Wabunge na Maseneta wakizidi kulalama kuwa wangali bado kupokea mishahara yao ya mwezi Machi.

Aidha huduma nyingi zimesimama katika kaunti nyingi kwani serikali kuu bado haijatoa fedha kwenda kwa kaunti.

Duru zinasema walioko mishahara ya mwezi Machi ni Walimu , maafisa wa Jeshi la Polisi pamoja na maafisa wa Jeshi la Ulinzi KDF.
 
Naibu wa Rais Rigathi Gachagua leo amefunguka na kukiri kuwa serikali inapitia wakati mgumu katika kuwalipa wafanyakazi wake na hata kutoa fedha kwenda kwa serikali za kaunti, kutokana na uhaba wa fedha.



"Ni kweli kabisa kuwa tunatatizika kulipa mishahara na hata kutoa pesa kwenda kwa kaunti, kwa sababu serikali iliyopita ya 'handshake' ilipora kila kitu. Hamna chochote.'

Gachagua amefichua haya huku Wabunge na Maseneta wakizidi kulalama kuwa wangali bado kupokea mishahara yao ya mwezi Machi.

Aidha huduma nyingi zimesimama katika kaunti nyingi kwani serikali kuu bado haijatoa fedha kwenda kwa kaunti.

Duru zinasema walioko mishahara ya mwezi Machi ni Walimu , maafisa wa Jeshi la Polisi pamoja na maafisa wa Jeshi la Ulinzi KDF.
Ruto alitangaza kuachana na USD katika Transaction zake. Ngoja tuone matunda yake.
 
Jamaa wanapigika mbaya sana....hawana chakula, hawana mishahara, hawana Kila kitu....wamebakiwa na kingereza tu
 
Jamaa wanapigika mbaya sana....hawana chakula, hawana mishahara, hawana Kila kitu....wamebakiwa na kingereza tu
Mwishowe hata hicho Kingereza kitaondoka make hakiwezi kuishi sehemu isiyo na Chakula.
 
kweli kabisa kuwa tunatatizika kulipa mishahara na hata kutoa pesa kwenda kwa kaunti, kwa sababu serikali iliyopita ya 'handshake' ilipora kila kitu. Hamna chochote.'
From my code of conduct,naona serikali ya Ruto inajaribu kutokulipa mishahara ili kuifanya serikali iliyopita kuonekana kuwa ilikuwa ni ya majizi yasiyochagua cha kuiba au MK254 unasemaje
 
From my code of conduct,naona serikali ya Ruto inajaribu kutokulipa mishahara ili kuifanya serikali iliyopita kuonekana kuwa ilikuwa ni ya majizi yasiyochagua cha kuiba au MK254 unasemaje

Hawa kama watamudu miaka mitano mniite mbwa niko pale....maana siwaelewi elewi....
 
Back
Top Bottom