Naibu wa Rais Rigathi Gachagua leo kwa mara nyingine tena alifika ofisini kwake, Harambee House, saa kumi na moja alfajiri na kama ilivyo ada alichapisha picha kwenye ukurasa wake wa Twitter akitoa Rai kwa wananchi kupambana katika kazi zao za Kila siku. Aliandika:
"Kenya ni taifa la wapambanaji. Tusikubali yeyote atuondoe humo. Tuchapeni kazi."
Ikumbukwe Gachagua ndiye Bosi wa nchi muda huu baada ya Rais William Ruto kuondoka nchini yapata siku tatu zilizopita kwa ajili ya ziara ya kikazi nchini Ujerumani na Ubelgiji.
Aidha kumbuka pia Leo Alhamisi ni siku nyingine ambapo maandamano yanayoongozwa na Raila Odinga yanatarajiwa kufanyika, huku Polisi wakipigia doria katika maeneo tofauti ya nchi hasa Jiji la Nairobi na kaunti zilizoko Kanda ya Ziwa.
Wasalaam wana JF, Hakika kuchepuka ni kukosa maadili, ni kinyume na mpango wa Mungu. Mtu anapaswa kukaa njia kuu, kukaa na familia moja kama mkristu na zisizozidi nne kama Muislam. Lakini, kuna wakati tunajikwaa na kuchepuka au tuna lazimika kuchepuka kutokana na mikingamo ya ndani. Sasa...
Naibu wa Rais Rigathi Gachagua leo kwa mara nyingine tena alifika ofisini kwake, Harambee House, saa kumi na moja alfajiri na kama ilivyo ada alichapisha picha kwenye ukurasa wake wa Twitter akitoa Rai kwa wananchi kupambana katika kazi zao za Kila siku. Aliandika:
"Kenya ni taifa la wapambanaji. Tusikubali yeyote atuondoe humo. Tuchapeni kazi."
Ikumbukwe Gachagua ndiye Bosi wa nchi muda huu baada ya Rais William Ruto kuondoka nchini yapata siku tatu zilizopita kwa ajili ya ziara ya kikazi nchini Ujerumani na Ubelgiji.
Aidha kumbuka pia Leo Alhamisi ni siku nyingine ambapo maandamano yanayoongozwa na Raila Odinga yanatarajiwa kufanyika, huku Polisi wakipigia doria katika maeneo tofauti ya nchi hasa Jiji la Nairobi na kaunti zilizoko Kanda ya Ziwa.