Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel akijibu swali la Mbunge wa viti Maalumu, Anatropia Lwehikila Theonest amezungumzia kauli ya RC Chalamila akisema:
"Suala alilozungumzia ni nyeti mno, suala la akina mama na mambo mengine ya dharula tunatoa maelekezo mahususi kwanza moja kwa hospital za private lakini pia za umma kwamba mama na mtu mwingine yoyote wa dharula kwamba kwanza apate huduma sio suala la kuuliza fedha.
Soma: Mbunge ahoji kauli ya serikali kuhusu wanawake wanaokosa vifaa vya kujifungulia, Naibu waziri asema huduma kwanza na si kuulizwa pesa
"Ni kwamba huduma kwanza mambo mengine baadaye lakini niwaambie waheshimiwa wabunge kwenye hili eneo la akina mama na watoto tunajua sisi wenyewe tumepitisha Bilioni 200 kwa ajili ya dawa lakini ukipiga gharama za mwaka za kutibu akina mama na watoto kwa mwaka ni Bilioni 227 na sisi tumetenga kwa huduma zote ni Bilioni 200 kwahiyo kunakuwa na hatua mbali mbali zinafanywa ili kubalance hizo hela"
"Na tunao watu wengi kule lakini unakuta mtu huyo huyo hana bima hana chochote lakini anachangia Milioni kwenye harusi, lakini ikifika suala la mke wake kujifungua hana hizo fedha anataka aseme asaidiwe bure
"Suala alilozungumzia ni nyeti mno, suala la akina mama na mambo mengine ya dharula tunatoa maelekezo mahususi kwanza moja kwa hospital za private lakini pia za umma kwamba mama na mtu mwingine yoyote wa dharula kwamba kwanza apate huduma sio suala la kuuliza fedha.
Soma: Mbunge ahoji kauli ya serikali kuhusu wanawake wanaokosa vifaa vya kujifungulia, Naibu waziri asema huduma kwanza na si kuulizwa pesa
"Na tunao watu wengi kule lakini unakuta mtu huyo huyo hana bima hana chochote lakini anachangia Milioni kwenye harusi, lakini ikifika suala la mke wake kujifungua hana hizo fedha anataka aseme asaidiwe bure