ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Nawakumbusha tu kwamba Bado Vijiji 151 Tanzania nzima kuwa na umeme na kati ya hivyo Wakandarasi wako site.
---
Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema vijiji 151 tu nchi nzima ndio ambavyo bado havijafikiwa na huduma ya umeme kati ya vijiji zaidi ya 12,000 ambapo wilayani Ludewa mkoani Njombe vimebaki vijiji nane.
Kapinga ameyasema hayo jana tarehe 19 Julai 2024 wakati wa ziara ya kikazi katika Vijiji vya Lubonde na Maweni wilayani Ludewa mkoani Njombe akikagua miradi ya nishati.
Wakati wa ziara hiyo Kapinga alifanikisha kuingiwa makubaliano kati ya Kampuni binafsi ya kuzalisha umeme ya Madope iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ya kukabidhi miundombinu ya kusafirisha na kusambaza umeme kwa Shirika hilo baada ya kusainiwa kwa mkataba kati ya pande hizo mbili.
Kapinga amesema kuwa Serikali inathamini kazi kubwa inayofanywa na Kanisa Katoliki kwa kushirikiana na Serikali kwenye uwekezaji katika sekta mbalimbali.
My Take
Hata hili Machadema yatapinga na kusema hakuna kilichofanyika chini ya CCM.
Mkosoe Rais Samia Kwa mambo mengine sio delivery ya Maendeleo.
View: https://twitter.com/AnnaSarungi/status/1815308723377627145?t=m85dXmJsgq3IRy4YX9QdXA&s=19
---
Kapinga ameyasema hayo jana tarehe 19 Julai 2024 wakati wa ziara ya kikazi katika Vijiji vya Lubonde na Maweni wilayani Ludewa mkoani Njombe akikagua miradi ya nishati.
Wakati wa ziara hiyo Kapinga alifanikisha kuingiwa makubaliano kati ya Kampuni binafsi ya kuzalisha umeme ya Madope iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ya kukabidhi miundombinu ya kusafirisha na kusambaza umeme kwa Shirika hilo baada ya kusainiwa kwa mkataba kati ya pande hizo mbili.
Kapinga amesema kuwa Serikali inathamini kazi kubwa inayofanywa na Kanisa Katoliki kwa kushirikiana na Serikali kwenye uwekezaji katika sekta mbalimbali.
My Take
Hata hili Machadema yatapinga na kusema hakuna kilichofanyika chini ya CCM.
Mkosoe Rais Samia Kwa mambo mengine sio delivery ya Maendeleo.
View: https://twitter.com/AnnaSarungi/status/1815308723377627145?t=m85dXmJsgq3IRy4YX9QdXA&s=19