LGE2024 Naibu Waziri Mkuu Biteko: Uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa tutashinda

LGE2024 Naibu Waziri Mkuu Biteko: Uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa tutashinda

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Tambo zinazidi kurushwa, ni kweli watashinda, au mbeleko itasaidia washinde? Lucas Mwashambwa Tlaatlaah johnthebaptist

=====


Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kuandikisha idadi kubwa ya wananchi katika daftari la wapiga kura ikiwa ni maandalizi ya uchanguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Dkt. Biteko ametoa pongezi hizo leo Novemba wakati akihutubia katika Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi wa Jimbo la Dodoma Mjini uliyolenga kutoa taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa Mwaka 2020 hadi 2024.

"jamani tunapokwenda katika uchaguzi kwa kawaida huwa tunaandaa hotuba mbili,tuko makundi mawili kundi la kwanza huwa linaandaa hotuba ya kushukuru kwa ushindi, na kundi la pili linaandaa hotuba ya kulalamika kwa sababu ya uchaguzi,

"mwandishi mmoja wa kitabu aliandika akasema hivi hatupangi kushindwa tunashindwa kupanga mmepanga kushinda na yule aliyepanga kushinda atashinda na yule aliyejipanga kulalamika atalalamika,nikiangalia namna naona uchaguzi wa Serikali Mitaa na uchaguzi Mkuu tutashinda" Amesema Dkt Doto Biteko
 
CCM ndio Chama pekee kilichosimamisha Wagombea kwenye Vitongoji vyote, Vijiji vyote na Mitaa yote nchini Tanzania 😀
 
Wakuu,

Tambo zinazidi kurushwa, ni kweli watashinda, au mbeleko itasaidia washinde? Lucas Mwashambwa Tlaatlaah johnthebaptist

=====

View attachment 3149195

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kuandikisha idadi kubwa ya wananchi katika daftari la wapiga kura ikiwa ni maandalizi ya uchanguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.​

Dkt. Biteko ametoa pongezi hizo leo Novemba wakati akihutubia katika Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi wa Jimbo la Dodoma Mjini uliyolenga kutoa taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa Mwaka 2020 hadi 2024.​

"jamani tunapokwenda katika uchaguzi kwa kawaida huwa tunaandaa hotuba mbili,tuko makundi mawili kundi la kwanza huwa linaandaa hotuba ya kushukuru kwa ushindi, na kundi la pili linaandaa hotuba ya kulalamika kwa sababu ya uchaguzi,​

"mwandishi mmoja wa kitabu aliandika akasema hivi hatupangi kushindwa tunashindwa kupanga mmepanga kushinda na yule aliyepanga kushinda atashinda na yule aliyejipanga kulalamika atalalamika,nikiangalia namna naona uchaguzi wa Serikali Mitaa na uchaguzi Mkuu tutashinda" Amesema Dkt Doto Biteko​

Kuna wakati unawaona watu wana busara utafikiri ni tofauti na CCM wenzao kumbe ni mavi tu....ccm wote ni mavi tu.
 
ukiwa kwenye social medias unaweza hisi wapinzani tuna wapira kura wengi sana kumbe wote hakuna anaekwenda panga mstari apige kura
 
Wakuu,

Tambo zinazidi kurushwa, ni kweli watashinda, au mbeleko itasaidia washinde? Lucas Mwashambwa Tlaatlaah johnthebaptist

=====


Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kuandikisha idadi kubwa ya wananchi katika daftari la wapiga kura ikiwa ni maandalizi ya uchanguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Dkt. Biteko ametoa pongezi hizo leo Novemba wakati akihutubia katika Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi wa Jimbo la Dodoma Mjini uliyolenga kutoa taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa Mwaka 2020 hadi 2024.

"jamani tunapokwenda katika uchaguzi kwa kawaida huwa tunaandaa hotuba mbili,tuko makundi mawili kundi la kwanza huwa linaandaa hotuba ya kushukuru kwa ushindi, na kundi la pili linaandaa hotuba ya kulalamika kwa sababu ya uchaguzi,

"mwandishi mmoja wa kitabu aliandika akasema hivi hatupangi kushindwa tunashindwa kupanga mmepanga kushinda na yule aliyepanga kushinda atashinda na yule aliyejipanga kulalamika atalalamika,nikiangalia namna naona uchaguzi wa Serikali Mitaa na uchaguzi Mkuu tutashinda" Amesema Dkt Doto Biteko
kusema na kuambiana ukweli ni kitu cha maana sana na ni jambo la muhimu mno.

Infact,
CCM huwaga iko serious sana kwenye masula ya chaguzi ukilinganisha na mizaha ya washindandani katika chaguzi hizo.

hakuna muujiza bila mipango kwenye uchaguzi, na malalamiko yasio na suluhisho mbadala ni sawa makelele tu my lady Cute Wife 🐒
 
kusema na kuambiana ukweli ni kitu cha maana sana na ni jambo la muhimu mno.

Infact,
CCM huwaga iko serious sana kwenye masula ya chaguzi ukilinganisha na mizaha ya washindandani katika chaguzi hizo.

hakuna muujiza bila mipango kwenye uchaguzi, na malalamiko yasio na suluhisho mbadala ni sawa makelele tu my lady Cute Wife 🐒
Au siyo Mkuu😃😃
 
Back
Top Bottom