ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Inawezekana MHESHIMIWA watu walisha safisha mtaro na rungu waka spray na malinda yote hayapo sasa anataka kila mtu nae linda lichanike[emoji23]Ukitaka kujua taifa la wafiraji na wafwiraji angalia aina ya adhabu wanazopenda watu kufanyiana lazima zihuishe njia ya haja kubwa. Watu wa namna hiyo yu mkini bila shaka yoyote ni watu wanaopenda masuala ya ulawiti direct or indirect.
...Hujaeleweka...Mara nyingi watu wanaofanyiwa unyama wa aina hii unakuta anampanda mtu kichwani kwa kumletea mambo ya ovyo. Hasira zake ndio anamrudishia kwa kutuma watu wafanye unyama wa aina hiyo.
Binafsi I am capable of doing worst if opportunities arises kwa watu kama watatu tu hivi; ipo siku wataingia anga zangu.
Huu ukatili uliofanywa na Mbunge wa Babati Paulina Gekuli haupaswi kufumbiwa macho hata kidogo, @tanpol wajibu wenu ni upi? Kwanini mnalea udhalilishaji huu mkubwa mpaka sasa waliofanya hivi vitendo wapo uraiani?
View attachment 2823504
Hashimu Ally Phillemon, mkazi wa Babati Mjini, anaeleza kwamba alikamatwa eneo lake la kazi, Paleii Lake View Garden, mali ya mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul, Naibu waziri sheria na katiba na kupigwa, kujeruhiwa na kuwekewa chupa katika maeneo ya haja kubwa.
Hashimu Ally anasema, Pauline Gekul alitoa bastola, akamueleza achague kukalia chupa mwenyewe au apigwe risasi na mwili wake wakautupe katika Ziwa Babati. Akagoma, wakampiga sana, wakamuingizia chupa sehemu ya haja kubwa. Huu ni unyanyasaji wa hali ya juu sana. Unyama.
Hashimu Ally anasema alituhumiwa na boso wake (Pauline Gekul) kutumwa kuweka sumu ili kumuua Pauline Gekul, tuhuma ambazo hazijathibitishwa popote hata na jeshi la polisi. Akasulubiwa sana kisha kukabidhiwa polisi Babati na kumpiga kila siku asubuhi na jioni, kwa siku nne.
Hashimu Ally alikana tuhuma zote hizo akiwa kituo cha polisi Babati Mjini na hata chini ya mikono ya mateso ya Pauline Gekul. Baada ya kupigwa kwa siku nne mfululizo akiwa polisi Babati, alidhaminiwa na baba yake mzazi. Lakini leo ameitwa ofisi za Manyara ili kutoa maelezo. Tunafuatilia.
Ujambazi huu unafanywa na Pauline Gekul ambaye hadi sasa ni naibu waziri wa Sheria na Katiba. Wizara ambayo inapaswa kuongoza kwa vitendo ulinzi wa haki za binadamu, utawala bora wa sheria. Pauline Gekul umepata wapi uhalali wa kupiga watu kwa tuhuma za kipuuzi?
Serikali ya CCM imechukua majambazi na kuwapa madaraka makubwa namna hii? Ni wizara hii ilisema kwamba watanzania wanatakiwa kupewa elimu ya katiba kwa miaka mitatu? Kimsingi Pauline Gekul hatakiwi kuwa Naibu Waziri wa masuala ya sheria na katiba.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Manyara, tunataka kuona haki ikitendeka. Waliotenda jinai wote kuanzia walinzi wa Pauline Gekul, wafanyakazi wa Paleii Lake View Garden na polisi waliompiga Hashimu wachukuliwe hatua za kisheria. JAMBAZI PAULINE ASHTAKIWE.
Tunauatilia na tutaujulisha umma kila hatua. Hatuwezi kuishi nchi ambayo naibu waziri anaweza kuamua kutunga tuhuma, kutoa adhabu za kikatili na tena kuwakabidhi polisi waendeleze unyanyasaji. Hatuwezi kuruhusu Taifa letu pendwa likawa na MAJAMBAZI ofisi za umma
MMM, Martin Maranja Masese
👍👏Huyo kijana amepikwa aseme hivyo ...... unajua kuna njia nyingi sana za kudeal na wabunge na hii nayo ni mojawapo ya kumuharibia mtu ukizingatia uchaguzi mkuu unakuja mwaka mmoja baadae
👍👌👏🙏Tatizo sio utetezi. Tatizo unaandika statement zako Kama mtu mwenye uhakika sana na tuhuma hizi.
Kwenye hii video hatujaona report ya polisi wa daktari, uthibitisho pasi na shaka uko wapi kwa tuhuma kubwa namna hii?
Napinga ukatili, unyanyasaji na udhalilishaji wa aina yoyote na haswa akifanyiwa mtoto, ni mbaya zaidi.
👍👌👏🙏🎁Nadhani subra, utulivu na ustahimilivu ni muhimu sana kwenye kuyaendea mambo kama haya yanapotokea.
Kuhukumu kwa ghadhabu na mihemko bila kuskiliza na kujiridhisha kutoka kwa pande zote zinazohusika ni ukurupukaji unaoweza usimpatie haki stahiki muathirika lakini pia usimpatie adhabu stahiki mdhulumu haki.
Hawezi kujibuMbona mengine anajibugi y hili hasijibu,basi asijibu yote itakuwa ni unafki
Unajuaje?Una tatizo la akili. Tafakari
HahahahaInawezekana MHESHIMIWA watu walisha safisha mtaro na rungu waka spray na malinda yote hayapo sasa anataka kila mtu nae linda lichanike[emoji23]
Sister yako ni mshenz alihongwa mil 50 na mwanasiasa mwenzake akaenda lipa ada ya watoto wake wanaosoma hapo DomMmemchanganya sister angu kabisa Tokea mchana hapokei simu!
Lete yako ya upande wa pili.Mbona ni habari ya upande mmoja tu?
Wanaharakati wainukeHuu ukatili uliofanywa na Mbunge wa Babati Paulina Gekuli haupaswi kufumbiwa macho hata kidogo, @tanpol wajibu wenu ni upi? Kwanini mnalea udhalilishaji huu mkubwa mpaka sasa waliofanya hivi vitendo wapo uraiani?
View attachment 2823504
Hashimu Ally Phillemon, mkazi wa Babati Mjini, anaeleza kwamba alikamatwa eneo lake la kazi, Paleii Lake View Garden, mali ya mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul, Naibu waziri sheria na katiba na kupigwa, kujeruhiwa na kuwekewa chupa katika maeneo ya haja kubwa.
Hashimu Ally anasema, Pauline Gekul alitoa bastola, akamueleza achague kukalia chupa mwenyewe au apigwe risasi na mwili wake wakautupe katika Ziwa Babati. Akagoma, wakampiga sana, wakamuingizia chupa sehemu ya haja kubwa. Huu ni unyanyasaji wa hali ya juu sana. Unyama.
Hashimu Ally anasema alituhumiwa na boso wake (Pauline Gekul) kutumwa kuweka sumu ili kumuua Pauline Gekul, tuhuma ambazo hazijathibitishwa popote hata na jeshi la polisi. Akasulubiwa sana kisha kukabidhiwa polisi Babati na kumpiga kila siku asubuhi na jioni, kwa siku nne.
Hashimu Ally alikana tuhuma zote hizo akiwa kituo cha polisi Babati Mjini na hata chini ya mikono ya mateso ya Pauline Gekul. Baada ya kupigwa kwa siku nne mfululizo akiwa polisi Babati, alidhaminiwa na baba yake mzazi. Lakini leo ameitwa ofisi za Manyara ili kutoa maelezo. Tunafuatilia.
Ujambazi huu unafanywa na Pauline Gekul ambaye hadi sasa ni naibu waziri wa Sheria na Katiba. Wizara ambayo inapaswa kuongoza kwa vitendo ulinzi wa haki za binadamu, utawala bora wa sheria. Pauline Gekul umepata wapi uhalali wa kupiga watu kwa tuhuma za kipuuzi?
Serikali ya CCM imechukua majambazi na kuwapa madaraka makubwa namna hii? Ni wizara hii ilisema kwamba watanzania wanatakiwa kupewa elimu ya katiba kwa miaka mitatu? Kimsingi Pauline Gekul hatakiwi kuwa Naibu Waziri wa masuala ya sheria na katiba.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Manyara, tunataka kuona haki ikitendeka. Waliotenda jinai wote kuanzia walinzi wa Pauline Gekul, wafanyakazi wa Paleii Lake View Garden na polisi waliompiga Hashimu wachukuliwe hatua za kisheria. JAMBAZI PAULINE ASHTAKIWE.
Tunauatilia na tutaujulisha umma kila hatua. Hatuwezi kuishi nchi ambayo naibu waziri anaweza kuamua kutunga tuhuma, kutoa adhabu za kikatili na tena kuwakabidhi polisi waendeleze unyanyasaji. Hatuwezi kuruhusu Taifa letu pendwa likawa na MAJAMBAZI ofisi za umma
MMM, Martin Maranja Masese