Wizara ya Ardhi
Member
- May 14, 2024
- 94
- 75
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amekutana na kufanya kikao na watumishi wa sekta ya ardhi mkoani Kigoma leo tarehe 6 Julai 2024.
Katika kikao hicho Mhe. Pinda alipata fursa ya kusikiliza changamoto za watumishi katika mkoa huo kwa lengo la kuzitafutia ufumbuzi.
Akiwa mkoani Kigoma Mhe. Pinda mbali na mambo mengine atashiriki ziara ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Philip Mpango iliyotarajiwa kuanza hivi karibuni.
Katika kikao hicho Mhe. Pinda alipata fursa ya kusikiliza changamoto za watumishi katika mkoa huo kwa lengo la kuzitafutia ufumbuzi.
Akiwa mkoani Kigoma Mhe. Pinda mbali na mambo mengine atashiriki ziara ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Philip Mpango iliyotarajiwa kuanza hivi karibuni.