Naibu Waziri wa Afya Dk. Godwin Mollel: Katika kipindi cha Januari hadi Disemba mwaka 2022 jumla ya kondomu 111,984,600 zimetumika

Naibu Waziri wa Afya Dk. Godwin Mollel: Katika kipindi cha Januari hadi Disemba mwaka 2022 jumla ya kondomu 111,984,600 zimetumika

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Naibu Waziri wa Afya Dk. Godwin Mollel amesema katika kipindi cha Januari hadi Desemba mwaka 2022 jumla ya kondomu 111,984,600 zilisambazwa nchini ili kuongeza mapambano dhidi ya ugonjwa wa UKIMWI.

Chanzo: ITV Tanzania

Na kwa ninavyowajua Watanzania (Wabongo) kama kuna zilizotumika kwa mwaka huo mzima wa 2022 (mwaka jana) ni 9 au 13 tu na zilitumika kwa tabu na kulazimishana mno.

Nani kakwambia na kukudanganya kuwa wanaume wa Kibongo (GENTAMYCINE nikiwemo) tunapenda 'ndomu' tukiwa katika mibanduano na mitinduano?

Hapa mambo yote ni minyama ndani, minyama nje na wengineo ni wadau wa 'Dry Chama TANESCO' siku zote ili tuusikie utamu wa kiuumbaji.
 
meat for meat is what brings pleasure if you use those sticks it's the same as you masturbate
 
Duh! Alikua anazurula kwenye dustbin za guest house!? Wale wa porini!? Wazee wa malori chini ya matairi!!? Hao wa kwenye magari! Bora yule alie hesabu samaki na mayai yake
 
meat for meat is what brings pleasure if you use those sticks it's the same as you masturbate
Mwanaume Mwerevu ( Intelligent ) kamwe hatumii ( havai ) Kondomu. Hivi kwa Utamu ulioko 'Mbunyeni' utaivaaje? Vaeni nyie Mimi ni Dry Chama TANESCO Daima tu.
 
Mwanaume Mwerevu ( Intelligent ) kamwe hatumii ( havai ) Kondomu. Hivi kwa Utamu ulioko 'Mbunyeni' utaivaaje? Vaeni nyie Mimi ni Dty Chama TANESCO Daima tu.

ahahahaha I have never used a condom and I wonder if I will use it, I don't see the importance of it if there are diseases, if you don't die of AIDS you will die of diabetes
 
Back
Top Bottom