Naibu Waziri wa Afya: Wanaopima uti na typhoid wanadanganywa majibu

Ok9

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
4,549
Reaction score
4,133
Naibu waziri ameyasema hayo kutokana na wagonjwa kupewa majibu ndani ya nusu SAA baada ya kupima,angali inahitajika SAA 72 kupata majibu sahihi.
Hivyo watz wengi tumekuwa tukitibu vitu kwa nadharia....hii inachangia usugu Wa dawa
 
Mawaziri wakurupukaji walikua wapi kujua hili kipindi chote hicho
 
Ndio maana kila nikienda kupima,naambiwa nina Uti mara ya mwisho nikamwambia Dokta sitaki Dawa yoyote na sinywi tena dawa inayoitwa ya Uti.
Gonjwa gani linagomea dawa mwaka na ushee.
Huu mwez wa 8 sijapima,Sinywi dawa,ni siumwi hayo madude.
Sitakiiii kabisa
kidogo nile muzizi za kimasai nisingekaza msimamo.
 
Hapa tunahiaji majibu ya kitaalamu.hawa wanasiasa....Wa atupoteza
Kwanza naomba nimwambie huyo waziri kuwa uponyaji wa UTI kwa njia ya centrifugation ndio ulihitaj masaa yote hayo 72, existing technology unahitaj reagent tuu kuweka mkojo kwenye mashine na jibu likapatikana dk hiyo hiyo. Ikiwa malaria tuliyokuwa tunasubiria majibu kwa masaa kisa process , staining zilikuwa ndefu, HIV the same Leo hii haichukui hata dk kupata majibu yy anaturudisha kule kule. Hivi kwann hawaendi basi hata mahospitalini kuona mashine zilizopo? Ili wahiridhishe kwa vitendo?
 
Nashkuru kwa majibu ya kitaalamu.

Ni hatari kwa waziri kutoa majibu yasiyo na uhakika yatakayoleta taharuki.

Hakuna Sheria ya kumshulikia?
 
Umenichekesha ndugu
 
Huyu Wazir ovyo kabisa yan mbumbumbu kweli! Wanahitaj kujifunza na kujua technology inaenda speed ya sound hivyo we need to update ourselves! Leo kuna kits za kijupima ata maralia nyumban kwako sawa na unavoweza jipima HIV/Aids....Nchi nyingi Dunian zinatengeneza vifaa tofauti vyenye uwezo tofauti na utaalamu tofauti!
 
Reactions: Ok9
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…