Naibu waziri wa elimu katika kashfa ya vyeti.

Joined
Dec 19, 2012
Posts
77
Reaction score
13
[h=3]Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo anadaiwa kutumia ujanja katika wasifu na elimu yake ambapo katika maisha yake ya kielimu ametumia majina manne tofauti. Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi see more[/h]
 
Well siwezi kushangaa hilo maana mengi ameyafanya hadharani yananisukuma kuamini hilo.
 
Tanzania ndo ilivyo kujuana ndo kunaharibu mambo. Limjamaa liliongea vapour tupu, eti Tanganyika iliungana na Zimbabwe !,
 
Jamaa hataki kujiuzulu kwa kashfa hii anasema eti ni wapinzani wake kisiasa ndo wanakuza mambo haya.
 
Kwa kweli kama ni kweli ingefaa ajiuzulu. Hivi msimamizi wa elimu nchini anapokuwa ndiye mtu wa kutumia vyeeti vya wengine atawezaje kusimamia ubora wa elimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…