Amenena vyama kabisa haiwezekani klabu kongwe kama simba zinakuwa hazina uwanja!! timu zina vitega uchumi vingi, rasilimali nyingi na idadi lukuki ya wanachama, washabiki na wanazi kwa nini zisijenge viwanja vyao?? Timu iliyokamili inatakiwa kuwa na uwanja wa mechi na uwanja wa mazoezi, AZAM FC mfano wa kuigwa!!!