Naichukia USEWAZA imewadanganya wanafunzi wa Zanzibar

Naichukia USEWAZA imewadanganya wanafunzi wa Zanzibar

A swahili Kid

Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
39
Reaction score
38
Umoja wa Serikali za Wanafunzi Zanzibar.uliojitokeza na kutamba kuwalinda wanafunzi wa Zanzibar imekaa kimya bìla ya kutoa tamshi lolote au kusaidia kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kondakta aliyemchanja mwanafunzi kisu cha pua na kumsababishia maumivu,na kukosa vipindi kadhaa darasani.
"Nakuchukieni USEWAZA na sitoweka imani yangu tena kwenu,kazi kutamka maneno bila ya kuchukua matendo"alisema Muharram Said Ali wa Lumumba Sec School baada ya kusimuliwa mkasa huu.
 
Back
Top Bottom