Naiji msichana wa kijita ambaye atakuwa mpenzi alafu mchumba kisha mke

Naiji msichana wa kijita ambaye atakuwa mpenzi alafu mchumba kisha mke

Msandawe Halisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
647
Reaction score
351
Katika ujana wangu nimepita kwa makabila mengi kiasi kwa mtindo wa eat and run, sasa umri umekwenda. Kwa utashi wangu katika makabila yote, nilifurahishwa na mapenzi ya hayo kabila tajwa hapo juu, wamanyema pia nawapa kipao mbele.

Naomba msichana mwenye umri kati ya miaka 23 mpaka 27 anaye itaji mume wa kuolewa naye, ani PM nipo tayari.

Sifa nazoziitaji

Awe tayari kupima,
Dini aina kigezo
Elimu aina kigezo
Awe na unyenyekevu
Mpole kiasi
 
Karibu ujitani, Ushauri wa bure nenda Majita ukajitwalie Kuku wako wa kienyeji umpe shule mwenyewe
 
Katika ujana wangu nimepita kwa makabila mengi kiasi kwa mtindo wa eat and run, sasa umri umekwenda. Kwa utashi wangu katika makabila yote, nilifurahishwa na mapenzi ya hayo kabila tajwa hapo juu, wamanyema pia nawapa kipao mbele.

Naomba msichana mwenye umri kati ya miaka 23 mpaka 27 anaye itaji mume wa kuolewa naye, ani PM nipo tayari.

Sifa nazoziitaji

Awe tayari kupima,
Dini aina kigezo
Elimu aina kigezo
Awe na unyenyekevu
Mpole kiasi

Ndugu yangu kuna siri gani huko kwa wajita! au unapeta mofologi !!!!
 
Kama ulikuwa mzee wa eat and run lol hatari kwani maji hayaachi asili yake ya ubarid !!
 
Ladha zao tofouti na kwingine kwingi, hakshiii zinavyo wapanda pindi wakishulika ni burudani tosha kwa mpewa huduma

Duh! labda. lakini si inabidi uwe umejaribu makabila kadhaa! jee wewe ulishafanya survey kidogo!!!
 
Katika ujana wangu nimepita kwa makabila mengi kiasi kwa mtindo wa eat and run, sasa umri umekwenda. Kwa utashi wangu katika makabila yote, nilifurahishwa na mapenzi ya hayo kabila tajwa hapo juu, wamanyema pia nawapa kipao mbele.

Naomba msichana mwenye umri kati ya miaka 23 mpaka 27 anaye itaji mume wa kuolewa naye, ani PM nipo tayari.

Sifa nazoziitaji

Awe tayari kupima,
Dini aina kigezo
Elimu aina kigezo
Awe na unyenyekevu
Mpole kiasi

Usije ukawa ni bondia unatafuta punching bag
 
Duh! labda. lakini si inabidi uwe umejaribu makabila kadhaa! jee wewe ulishafanya survey kidogo!!!

Nimekuambia sasa nipo Single naitaji kuoa kati ya hayo makabila. Kwa sababu nimeshapita kwenye makabila mengi. Niambie kabila lako nikupe sifa ya dada zako.
 
Usije ukawa ni bondia unatafuta punching bag

Nimefundishwa na wakubwa wangu hasa wazazi kujipenda ili niwe na upendo kwa watu wengine. Halafu niwe atleast napitia mistari ya biblia ya hekima za suleimani mara 2 kwa mwezi.

Kwa nidhimu najiamini nipo juu
 
Katika ujana wangu nimepita kwa makabila mengi kiasi kwa mtindo wa eat and run, sasa umri umekwenda. Kwa utashi wangu katika makabila yote, nilifurahishwa na mapenzi ya hayo kabila tajwa hapo juu, wamanyema pia nawapa kipao mbele.

Naomba msichana mwenye umri kati ya miaka 23 mpaka 27 anaye itaji mume wa kuolewa naye, ani PM nipo tayari.

Sifa nazoziitaji

Awe tayari kupima,
Dini aina kigezo
Elimu aina kigezo
Awe na unyenyekevu
Mpole kiasi

Nahisi nna vigezo, I love u boyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
 
uwiiiii.....ninavyopenda wasandawe........bahati mbaya mimi sio mjita......
 
Back
Top Bottom